Dereva basi la Zuberi mbaroni ajali iliyojeruhi wawili Mwanza
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, linamshikilia dereva wa basi la Zuberi, Noel Lushanga (34) kwa kosa la kusababisha ajali baada ya basi hilo kugonga basi dogo aina ya Toyota Hiace na kusababisha...